Back to home
Wakazi wa Sitikho huko Webuye walalamikia ubovu wa barabara
video
C
Citizen TV (Youtube)July 1, 2025
6mo ago
Waendeshaji wa bodaboda katika Wadi ya Sitikho, eneo Bunge la Webuye Magharibi, wameandamana kulalamikia hali mbaya ya barabara, wakitoa makataa ya siku tatu kwa viongozi wa eneo hilo kushughulikia barabara hiyo
Advertisement
Advertisement



