Back to home

Wakazi wa Sitikho huko Webuye walalamikia ubovu wa barabara

video
July 1, 2025
about 5 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Waendeshaji wa bodaboda katika Wadi ya Sitikho, eneo Bunge la Webuye Magharibi, wameandamana kulalamikia hali mbaya ya barabara, wakitoa makataa ya siku tatu kwa viongozi wa eneo hilo kushughulikia barabara hiyo..