Viongozi wa Kiislamu walalamikia uamuzi wa mahakama kuruhusu watoto nje ya ndoa kurithi mali
About this video
Viongozi wa Kiislamu mjini Mombasa wamelalamikia vikali uamuzi wa Mahakama ya Juu ulioruhusu watoto waliozaliwa nje ya ndoa katika familia za Kiislamu kurithi mali kutoka kwa baba zao, wakisema hatua hiyo inapingana moja kwa moja na misingi ya sheria za Kiislamu, hususan katika e..