Back to homeWatch Original
Familia moja yalilia haki kaunti ya Kirinyaga
video
July 2, 2025
22 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Familia moja kaunti ya Kirinyaga inaitaka serikali kumchukulia hatua afisa wa polisi aliyemuua kijana wa miaka 28 Brian Maina kwa kumpiga risasi kichwani wakati wa maandamano ya Gen Z wiki jana. Familia ya Brian ikisema mwana wao hakuwa amejihami kwa silaha yoyote wakati wa maand..