Back to home

Wizara ya Afya yaanzisha kampeni ya chanjo dhidi ya Homa ya Matumbo na Ukambi

video
July 2, 2025
about 18 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wizara ya afya imetangaza kampeni ya siku kumi kukabiliana na magonjwa ya homa ya tumbo, Ukambi na Rubella kote nchini. Kwa mujibu wa serikali, kampeni hii itakayoanza wiki ijayo inatarajiwa kusaidia kudhibiti maradhi haya. Na kama Emily Chebet anavyoarifu, kenya ni nchi ya tano ..