Back to home

Kisii: Mwanamume achomwa baada ya kumuua mkewe, kumchinja na kuwaandalia wanawe kama chakula

video
July 2, 2025
3 days ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mwanamume mmoja kaunti ya kisii amechomwa moto hadi kufa baada ya kumuua mkewe na kwa siku kadhaa kumkatakata na kuwaandalia wanawe kama chakula. Hili si jambo la kiunyama pekee alilofanya kwani alikuwa tayari amempachika ujauzito mtoto wake wa kike mwenye umri wa miaka 14. Subs..