Boniface Kariuki, mchuuzi wa barakoa aliyepigwa risasi wakati wa maandamano, kuzikwa Julai 11
About this video
Boniface Kariuki, mchuuzi wa barakoa mwenye umri wa miaka 27, aliyepigwa risasi kwa karibu wakati wa maandamano jijini Nairobi wiki mbili zilizopita, atazikwa siku ya Ijumaa, tarehe 11 Julai nyumbani kwa wazazi wake katika kaunti ya Murang’a. Subscribe and watch NTV Kenya live..