Back to home

Wakaazi wa Mombasa walalamikia uhaba wa maji

video
July 3, 2025
1 day ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakaazi wa Mombasa wanalalamikia uhaba wa maji wanaosema umekuwa kwa wiki tatu sasa. Tatizo hili limechangia kwa bei ya maji kupanda maradufu huku wakaazi wa mitaa ya mabanda wakilalamikia kuwa hali hii imetatiza shughuli zao za siku..