Back to home
Wakazi wa Mbulia wanaishi kwa hofu ya kufurushwa
video
C
Citizen TV (Youtube)July 3, 2025
1y ago
Wakazi wa Mbulia eneo bunge la Voi kaunti ya Taita Taveta wanaishi kwa hofu baada ya kupewa notisi ya kuondoka sehemu hiyo. Wakazi hao wanasema kuwa wamekuwa wakiishi katika eneo hilo kwa zaidi ya miaka 40
Advertisement
Advertisement





