Back to home

Familia yaomboleza mwanafunzi Denis aliyeuawa kwenye maandamano

video
July 3, 2025
3w ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mwanafunzi wa kidato cha 4 Denis Njuguna aliyepigwa risasi kichwani na maafisa wa polisi kwenye maandamano amezikwa nyumbani kwao eneo la Turi Molo huku familia yake pamoja na marafiki wakimmiminia sifa zake nzuri pamoja na kutia bidii masomoni alipokuwa hai. Subscribe and watch..