Back to homeWatch Original
Kenya imelazwa na Algeria 3-2 kwenye voliboli ya walemavu upande wa wanaume
video
July 5, 2025
3w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Timu ya taifa ya Kenya ya voliboli kwa walemavu bado ina matumaini ya kufanya vyema licha ya kupoteza mchezo wake wa kwanza kwenye mchuano wa Afrika unaoendelea uwanjani Kasarani hapa Nairobi...