Back to home
Zaidi ya wakulima nusu milioni wa kahawa wakataa mageuzi yanayolenga vyama vyao
video
N
NTV Kenya (Youtube)July 5, 2025
8mo ago
Zaidi ya wakulima nusu milioni wa kahawa wamepinga vikali agizo jipya lililotolewa na Kamishna wa Maendeleo ya Ushirika, linalotaka vyama vya ushirika vyenye wanachama zaidi ya 500, kufanya marekebisho za sheria zao ili kupitisha mfumo wa uwakilishi wa wajumbe.
Subscribe and wa
Advertisement
Advertisement




