Back to home

Zaidi ya wakulima nusu milioni wa kahawa wakataa mageuzi yanayolenga vyama vyao

video
N
NTV Kenya (Youtube)
July 5, 2025
7mo ago
Zaidi ya wakulima nusu milioni wa kahawa wamepinga vikali agizo jipya lililotolewa na Kamishna wa Maendeleo ya Ushirika, linalotaka vyama vya ushirika vyenye wanachama zaidi ya 500, kufanya marekebisho za sheria zao ili kupitisha mfumo wa uwakilishi wa wajumbe. Subscribe and wa
Advertisement