Back to home

Familia yalilia haki baada ya maiti ya mwanao kufanyiwa uchunguzi bila wao kujua

video
July 5, 2025
3w ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Familia ya Elijah Muthoka mwenye umri wa miaka 17 inadai haki kufuatia kifo chake wakati wa maandamano ya Juni tarehe 25. Uchunguzi wa maiti ulifanyika bila familia kujua au kutoa idhini. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by Ken..