Back to home

Familia moja Eldoret inalilia haki baada ya kijana aliyepigwa risasi wakati wa maandamano kufariki

video
July 5, 2025
3w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Makovu ya maandamano yakizidi kushuhudiwa nchini, familia moja mjini Eldoret inalilia haki baada ya mwana wao Timothy Bwibo aliyepigwa risasi Jumatano kufariki akipokea matibabu. Familia ya Bwibo inasema hakuwepo kwenye maandamano na kwamba alipigwa risasi akielekea nyumbani kuto..