Back to homeWatch Original
James Gachara, aliyefariki baada ya kupigwa risasi kwenye maandamano ya Saba Saba, azikwa
video
July 16, 2025
1w ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Jaribio la maafisa kutoka Idara ya Upelelezi (DCI) kuchukua udhibiti wa programu ya mazishi ya James Gachara, aliyefariki baada ya kupigwa risasi kwenye maandamano ya Saba Saba liligonga mwamba, baada ya kanisa na mashirika ya haki za binadamu kuingilia kati. Subscribe and watch..