Back to home

Gavana wa Kajiadi Ole Lenku akemea wahuni waliovamia hospitali

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 9, 2025
8mo ago
Gavana wa Kajiado Joseph Ole Lenku amejitokeza na kushutumu vikali uvamizi wa hospitali ya Kitengela Level 4 wakati wa maandamano ya siku ya saba saba, ambapo uharibifu mkubwa ulishuhudiwa. Akizungumza baada ya kukagua uharibifu huo Lenku anasema waliotekeleza uhalifu huo hawakuw
Advertisement