Back to home

Idadi ya watu waliofariki kutokana na maandamano ya Saba Saba katika eneo la Ngong kuongezeka

video
July 9, 2025
7 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Idadi ya watu waliofariki kutokana na maandamano ya Saba Saba katika eneo la Ngong imeongezeka, baada ya kijana mwingine kuripotiwa kufariki. Denis Kimeu, mwenye miaka 24, alifariki jana usiku katika hospitali ya Kenyatta alikokuwa amelazwa na majeraha ya risasi...