Back to home

Watu watano waliuawa kwa risasi maandamano wengine 40 bado watibiwa KNH

video
July 10, 2025
6 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Upasuaji wa maiti ya waathiriwa watano wa maandamano ya saba saba umeonyesha kwamba walifariki kwa majeraha ya risasi. Aidha, risasi mbili zimepatikana kwenye miili ya waathiriwa wawili Paul Makori na Anthony Maina waliopigwa risasi na maafisa wa polisi eneo la Kangemi na Kahawa ..

Watu watano waliuawa kwa risasi maandamano wengine 40 bado watibiwa KNH (Video)