Back to home

Watu watano waliuawa kwa risasi maandamano wengine 40 bado watibiwa KNH

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 10, 2025
4mo ago
Upasuaji wa maiti ya waathiriwa watano wa maandamano ya saba saba umeonyesha kwamba walifariki kwa majeraha ya risasi. Aidha, risasi mbili zimepatikana kwenye miili ya waathiriwa wawili Paul Makori na Anthony Maina waliopigwa risasi na maafisa wa polisi eneo la Kangemi na Kahawa

More on this topic

Legal Actions Against Alleged Police Brutality and Murder Charges

DPP approves murder charges against officer Klinzy Baraza for a protest killing, while families decry police brutality.

4 stories in this topic
View Full Coverage