Back to home
Omtatah alaani ongezeko la chuki za kikabila
video
C
Citizen TV (Youtube)July 12, 2025
1y ago
Seneta wa Buais Okiya Omtatah amelaani vikali ongezeko la chuki za kikabila zinazoendelezwa na baadhi ya viongozi nchini. Omtatah anaonya kuwa semi za viongozi zinahatarisha ushikamano wa kitaifa na zinaweza kulirudisha taifa kwenye makovu ya uchaguzi wa 2007. Omtatah amepuuzilia
Advertisement
Advertisement





