Back to home

Raila atetea pendekezo la mazungumzo

video
July 12, 2025
about 8 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Kinara wa ODM Raila Odinga ametetea pendekezo la kufanyika kwa mazungumzo ya kitaifa, akisema ndio njia ya pekee ya kuhakikisha amani humu nchini. Akizungumza katika kaunti ya Bomet, raila aliyeambatana na viongozi wengine wanaounga mkono serikali alikashifu vikali aliyekuwa naib..