Back to home

Usalama wa Kisauni

video
July 13, 2025
3 days ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Hofu ya usalama imeendelea kugubika eneo la Utange katika eneobunge la Kisauni kaunti ya Mombasa, baada ya genge kuvamia nyumba moja na kuiteketeza moto usiku wa kuamkia leo. Aidha, wakaazi wanaripoti kuvamiwa na kuibwa kwa kanisa lililo karibu na eneo hilo..