Back to home

Mashaidi zaidi wafikishwa mahakamani mjini Nakuru kwenye kesi ya mvuvi Brian Odhiambo

video
July 14, 2025
about 14 hours ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mashahidi watano zaidi wamefika mahakamani kwenye kesi ya kutoweka kwa mvuvi wa Nakuru Brian Odhiambo. Mashahidi hao wameieleza mahakama kuwa Brian alioneakana mara ya mwisho akiwa na afisa wa KWS kabla ya kutoweka kwake januari mwaka huu...