Back to home

Wakenya washauriwa kujiunga na mashirika ya kijamii ili kujiendeleza

video
July 21, 2025
1 day ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wakenya kutoka matabaka tofauti wameshauriwa kujiunga na mashirika ya kijamii kama njia mojawapo ya kukabili ugumu wa maisha hususan nyakati za majanga. Wakizungumza mjini Kisii , wadau kutoka mashirika mbalimbali wamewarai wakenya kuiga umoja wa shirika moja mjini Kisii ambalo l..