Back to homeWatch Original
Je, kuna njama ya kumwondoa Edwin Sifuna kutoka uongozi wa chama cha ODM?
video
July 23, 2025
1w ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
About this video
Matamshi ya Katibu Mkuu wa chama cha ODM, Edwin Sifuna, ya hivi karibuni dhidi ya mkataba wa makubaliano kati ya chama chake cha ODM na chama tawala cha UDA yameibua mjadala mkali kuhusu hatma yake ndani ya ODM. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and..