Back to home

Serikali yatoa ksh. 120m za kufadhili vyuo vya ushirika

video
July 24, 2025
1w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Katibu katika idara ya vyama vya ushirika, patrick kilemi amesema kuwa serikali imetoa shilingi milioni 120 kwa sekta hiyo kwa ajili ya kutekeleza mifumo ya kidijitali..