Back to home

Serikali yasema haiwezi kumudu elimu ya bure

video
July 25, 2025
1w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Serikali inasema haiwezi kufadhili elimu ya bure kwa shule za msingi na upili kwani bajeti yake haitoshi. Waziri wa hazina kuu ya kitaifa John Mbadi akisema kuwa mzigo ni mkubwa kwa serikali kufadhili kiwango kamili cha ruzuku ilhali bajeti ni finyu na matumizi yake ni mengi..