Back to homeWatch Original
Ladha ya amani yarejea Kerio baada ya miaka ya machafuko
video
July 27, 2025
4d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Kwa miongo kadhaa, bonde la Kerio limekuwa na tatizo ya ukosefu wa usalama uliosababisha vifo na hata wakaazi kupoteza mali na makao yao. Wezi wa mifugo kwa miaka walitawala vijiji na kutatiza kabisa maisha na hata shughuli za masomo. Hata hivyo, kwa miaka miwili sasa, hali imeon..