Back to home

EACC yawachunguza wawakilishi wadi sita wa Bungoma

video
C
Citizen TV (Youtube)
July 28, 2025
1y ago
Tume ya Maadili na Kupambana na Ufisadi (EACC) inachunguza sakata ya mamilioni ya pesa inayodaiwa kuwahusisha wawakilishi wadi sita wa Bunge la Kaunti ya Bungoma. Wawakilishi wadi hao wanadaiwa kushirikiana ili kupata zabuni za miradi ya ujenzi katika wadi zao kupitia kampuni zin
Advertisement