Back to home
Mbunge wa Kajiado Kusini ataka bajeti ya elimu iongezwe
video
C
Citizen TV (Youtube)July 29, 2025
10mo ago
Mbunge wa Kajiado kusini Sakimba Parashina amewataka wenzake katika bunge la Kitaifa kutenga fedha zaidi kwenye bajeti ya ziada ijayo ili kusaidia wizara ya elimu kutosheleza mahitaji ya kufadhili elimu ya bure
Advertisement
Advertisement




