Back to homeWatch Original
Kanisa latakiwa kupaza sauti kuhusu maadili ya uongozi
video
July 29, 2025
3d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Viongozi wa kidini kutoka Afrika wamekusanyika Nairobi kwa kongamano la wiki moja, wakitoa wito kwa kanisa kushiriki kikamilifu katika kupaza sauti zao kuhusu maadili ya uongozi..