Back to home

Mzozo wa uongozi kanisani Methodist

video
August 1, 2025
1d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Mvutano mkali wa uongozi umezuka katika Kanisa la Methodist Kenya huku Askofu Mkuu Isaya Deye akilalamikia njama za kumwondoa ofisini kinyume cha sheria na katiba ya kanisa hilo. Deye amesema kuwa baadhi ya viongozi wa zamani walivamia ofisi yake licha ya amri ya mahakama kuzuia,..