Back to home

NPSC yalalamikia kunyimwa rekodi za polisi

video
July 30, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Tofauti kati ya tume ya kuwaajiri maafisa wa polisi NPSC na idara ya polisi zilishuhudiwa bungeni leo, NPSC ikilalamikia kunyimwa rekodi za maafisa wa polisi walioajiriwa nchini wabunge wakiibua maswali kuhusu nini kinachofichwa kwenye rekodi hizo..