Back to homeWatch Original
NPSC yalalamikia kunyimwa rekodi za polisi
video
July 30, 2025
2d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Tofauti kati ya tume ya kuwaajiri maafisa wa polisi NPSC na idara ya polisi zilishuhudiwa bungeni leo, NPSC ikilalamikia kunyimwa rekodi za maafisa wa polisi walioajiriwa nchini wabunge wakiibua maswali kuhusu nini kinachofichwa kwenye rekodi hizo..