Back to home
NPSC yalalamikia kunyimwa rekodi za polisi
video
C
Citizen TV (Youtube)July 30, 2025
6mo ago
Tofauti kati ya tume ya kuwaajiri maafisa wa polisi NPSC na idara ya polisi zilishuhudiwa bungeni leo, NPSC ikilalamikia kunyimwa rekodi za maafisa wa polisi walioajiriwa nchini wabunge wakiibua maswali kuhusu nini kinachofichwa kwenye rekodi hizo
Advertisement
Advertisement




