Back to home
Waziri wa afya Aden Duale abatisha mafunzo ya nyanjani ya wanafunzi 306
video
C
Citizen TV (Youtube)July 31, 2025
11mo ago
wanafunzi wa uuguzi wapatao 306 ambao hawakupata nafasi za kufanya mafunzo ya nyanjani kutokana na kile alichokitaja Waziri wa afya Aden Duale kama uvunjaji wa sheria wanaelezea masaibu yao.
Advertisement
Advertisement



