Back to home

Wanawake Pokot Magharibi waunga mkono NACADA wakilalamika kuhusu athari za pombe

video
N
NTV Kenya (Youtube)
August 1, 2025
7mo ago
Wanawake katika kaunti ya Pokot Magharibi wamejitokeza kuunga mkono mapendekezo ya mamlaka ya NACADA kuhusu unywaji na uuzaji pombe nchini huku wakizua malalamishi kuhusu kuvunjika kwa ndoa nyingi, talaka, waume walevi kukosa nguvu za kiume na kukosa kuajibika kutokana na unyaj
Advertisement