Back to home

Maraga awakashifu wanaoendeleza michango

video
August 1, 2025
1d ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Aliyekuwa jaji mkuu David Maraga amewakashifu viongozi wa serikali kwa kujihusisha na michango ya kiholela akisema kuwa pesa zinazosambazwa ni mali ya wizi. Maraga, ambaye anaazimia kugombea urais kwenye uchaguzi wa mwaka wa 2027, amewasihi wakenya kutohadaiwa na viongozi hao amb..