Back to home
Waathiriwa walalamikia kutengwa kwenye mpango wa fidia
video
C
Citizen TV (Youtube)June 24, 2026
2h ago
Baadhi ya waathiriwa wa maandamano ya miaka miwili iliyopita wanadai kutengwa katika mpango wa serikali wa utoaji wa fidia.
Baadhi yao wanasema hawajapata majibu yoyote kutoka kwa kamati maalum ya kuwafidia waathiriwa licha ya kuwasilisha malalamishi yao.
Waathiriwa hao sasa wa
Advertisement
Advertisement




