Back to home

Mshukiwa mmoja wa mkasa wa moto Gilgil aachiliwa huru

video
C
Citizen TV (Youtube)
June 24, 2026
2h ago
Mahakama Kuu mjini Naivasha imemwachilia huru mshukiwa mmoja kati ya washukiwa tisa wa mkasa wa moto uliosababisha vifo vya wanafunzi kumi na sita katika Shule ya Utumishi, Gilgil. Hatua hiyo imefuatia upande wa mashtaka kuieleza mahakama kuwa hakuna ushahidi wa kutosha wa kumfu
Advertisement