Back to home

Gavana Simon Kachapin awalaumu viongozi kutoka Pokot Magharibi kwa kuhusika kwenye siasa duni

video
August 4, 2025
1w ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Gavana wa Kaunti ya Pokot Magharibi, Simon Kachapin, amewasuta vikali baadhi ya viongozi kwenye kaunti hiyo, akiwaelekezea lawama kwa kumpiga vita na kuhusika kwenye siasa duni za uongo na uchochezi kwa lengo la kulemaza maendeleo. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenya..