Back to home

KHRC yataja Hazina ya Hustler kuwa duni kiuchumi, dhaifu kimfumo, na yenye nia fiche za kisiasa

video
August 4, 2025
2d ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Tume ya Haki za Binadamu nchini, KHRC, imezua mjadala mkali baada ya kutoa ripoti mpya inayoitaja Hazina ya Hustler kuwa duni kiuchumi, dhaifu kimfumo, na yenye nia fiche za kisiasa. Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday. Get the Kenya news upd..