Back to home

MPESA sokoni yatua Nairobi kuadhimisha miaka 18 ya Huduma

video
August 4, 2025
4h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Msafara wa MPESA Sokoni umetua rasmi jijini Nairobi , ukitikisa jiji kwa shamrashamra za maadhimisho ya miaka 18 ya huduma za MPESA nchini. Kampuni ya Safaricom iko ziarani kukutana na wateja wake katika maadhimisho haya ya kipekee..