Back to home

Wizara ya afya yasitisha huduma za matibabu hospitali ya Nyanchwa kufuatia madeni ya bima ya SHA

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 6, 2025
2mo ago
Huduma za matibabu katika hospitali ya kanisa la Kiadvetisti ya Nyanchwa kaunti ya Kisii zimesitishwa na wizara ya afya nchini baada ya madai ya ulaghai wa mamilioni ya fedha za bima ya afya ya SHA. Aidha, barua kutoka wizara ya afya imeagiza wagonjwa wote walio kwenye hospitali

More on this topic

Ministry of Health Suspends SHA Services at Nyanchwa Hospital Amid Fraud Allegations - August 2025

The Ministry of Health has ordered the immediate suspension of all medical services under the Social Health Authority (SHA) at Nyanchwa Adventist Hospital in Kisii County due to allegations of financial misconduct and fraud. This action follows reports of millions of shillings in SHA health insurance funds being misused. The situation has severely impacted patients nationwide, with a child's family facing distress in India after the SHA allegedly withdrew funds for medical treatment. The Ministry of Health has reinstated biometric verification for Social Health Insurance Fund (SHIF) claims, abandoning the previous one-time password (OTP) authentication method, in an effort to combat systemic fraud and improve service delivery, though a new digital transformation has led to widespread confusion and delays, leaving patients stranded.

7 stories in this topic
View Full Coverage