Back to home

Kiongozi wa wengi wa bunge la kaunti ya Mombasa atimuliwa

video
August 7, 2025
17h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Bunge la kaunti ya mombasa limemtimua kiongozi wa wengi Athman Mwamwiri baada ya chama cha ODM kuwasilisha hoja hiyo kutokana na uamuzi wa chama mnamo Julai 3..