Back to home

Serikali yapinga tuhuma za wizi kwenye e-Citizen

video
August 7, 2025
21h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

SERIKALI SASA INASEMA HAKUNA FEDHA ZILIZOPOTEA KATIKA MFUMO WA SERIKALI WA MALIPO, E-CITIZEN, IKIELEZA KWAMBA WIZARA HUSIKA ZIMEWEKA MIKAKATI YA KUTOSHA KUZUIA UBADHIRIFU WA MALI YA UMMA, HASWA BAADA YA MWAKA WA 2023...