Back to homeWatch Original
Ustadi wa Austin Odhiambo umedhihirika CHAN 2024
video
August 8, 2025
12h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Mchuano wa CHAN unaoendelea umeweka Kenya katika orodha ya mataifa yaliyo na vijana wenye vipaji barani Afrika. Mchezaji wa Harambee Stars Austin Odhiambo ni mmoja wa wale waliong'aa kwenye kivumbi hicho, akifunga mabao mawili na kuweka hai matumaini ya Kenya. Austin mwenye umri ..