Back to home

watu 50 wafariki katika saa 72

video
C
Citizen TV (Youtube)
August 9, 2025
2mo ago
Watu ishirini na sita wamefariki kufikia sasa kwenye ajali iliyohisusha basi la shule katika kaunti ya Kisumu ijumaa jioni , hii leo, jumamosi, wengine wanane wakifariki katika eneo la Korompoi kwenye barabara kuu ya Namanga kueleka Nairobi na mmoja akifariki huko Machakos.

More on this topic

Road Accidents Cause Multiple Fatalities Across Kenya - August 2025

A series of tragic road accidents have claimed numerous lives across Kenya. A devastating incident on the Kibwezi-Kitui road in Makueni County resulted in the deaths of four family members. Separately, 60 fatalities from road accidents were reported, with ten additional deaths occurring in Makueni, Nakuru, and Tana River counties, including a family returning from a dowry ceremony. In Kajiado County, eight lives were lost in a collision between a lorry and a Nailepu SACCO matatu at Korompoi along the Namanga-Kitengela road, bringing the total reported deaths to significant numbers within a short period.

4 stories in this topic
View Full Coverage