Back to homeWatch Original
Wakulima wa Naromoru wapanda aina tofauti ya mbegu
video
August 12, 2025
3w ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Wakulima katika eneo la Narumoro kaunti ya Nyeri, wana matumaini, baada ya kupokea aina mpya ya maharagwe yanayojulikana kama Waithera, yanayosemekana kutoa mavuno mara sita zaidi ya yale ya kawaida..