Back to homeWatch Original
Serikali haitaachia mikakati ya kutoa vitambulisho kwa wakaazi wa Kaskazini Mashariki, Kindiki adai
video
August 12, 2025
19h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
About this video
Serikali haitarejea nyuma kwenye mikakati mipya ya kutoa vitambulisho kwa wakazi wa maeneo ya kaskazini mashariki. Naibu rais Profesa Kithure Kindiki amepuuzilia mbali madai kwamba hatua hio itawapa nafasi magaidi wa alshabaab kujisajili kama wakenya. Akizungumza baada ya mkutano..