Back to home

Wasichana wadodo wanapata dhiki kujifungua Kajiado

video
August 13, 2025
18h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Wasichana wadodo wanapata dhiki kujifungua katika baadhi ya hospitali za kaunti ya Kajiado wakilalamikia manyanyaso na kutelekezwa kwasababu ya umri wao mdogo.Ndio madhila waliyopitia wasichana wawili wenye umri wa miaka 14 na 15 baada ya kubeba mimba na kufikia wakatiw a kujifun..