Back to home

DAP-K kimeamua kuunda jopo maalum la malalamishi

video
August 13, 2025
15h ago
C
Citizen TV (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Katika juhudi za kumaliza mzozo unaoendelea, chama cha DAP-K kimeamua kuunda jopo maalum ya kushughulikia malalamishi yaliyoibuka kuhusu uongozi wa chama hicho. DAP-K sasa inadai kuwa kuna mpango wa rais william ruto kuingilia na kuvuruga chama hicho..