Back to home
Meru: wakazi walilia haki baada ya jamaa mmoja kudaiwa kupigwa risasi mguuni na maafisa wa usalama
video
N
NTV Kenya (Youtube)August 13, 2025
8mo ago
Baadhi ya wakazi kutoka Igembe Kaskazini, Kaunti ya Meru, wanalilia haki. Hii ni baada ya jamaa mmoja kudaiwa kuvamiwa na kupigwa risasi mguuni na maafisa wa usalama akiwa katika shughuli zake za malisho.
Subscribe to NTV Kenya channel for latest Kenyan news today and everyday.
Advertisement
Advertisement





