Back to home

Samuel Kinyanjui aishi na risasi mwilini baada ya kupigwa risasi katika maandamano 2024

video
August 9, 2025
1w ago
N
NTV Kenya (Youtube)
News Channel
Watch Original

About this video

Baada ya miezi kumi na minne ya maumivu na mateso, hatimaye matumaini yameanza kuonekana kwa Kinyajui ambaye alipigwa risasi na polisi wakati wa maandamano ya kizazi cha Gen Z mwaka wa 2024. Subscribe and watch NTV Kenya live for latest Kenyan news today and everyday as told by..

Samuel Kinyanjui aishi na risasi mwilini baada ya kupigwa risasi katika maandamano 2024 (Video)